![Channel ten](/img/default-banner.jpg)
- Видео 25 078
- Просмотров 20 788 421
Channel ten
Танзания
Добавлен 19 апр 2015
Tanzania's #1 brand on RUclips. First for Breaking News and home to the best entertainment on television.
Видео
BARAGUMU / UPATAJI NAFUU KWA MRAIBU WA DAWA ZA KULEVYA
Просмотров 67 часов назад
BARAGUMU / UPATAJI NAFUU KWA MRAIBU WA DAWA ZA KULEVYA
ULIMWENGU WA KIISLAMU: UKEWENZA 24.06.2024
Просмотров 124 часа назад
ULIMWENGU WA KIISLAMU: UKEWENZA 24.06.2024
#BARAGUMULIVE: OPERESHENI KUKAMATA DADA POA INAENDELEA
Просмотров 174 часа назад
#BARAGUMULIVE: OPERESHENI KUKAMATA DADA POA INAENDELEA
ASUBUHI NJEMA KITAIFA NA MICHEZO 24.06.2024
Просмотров 794 часа назад
ASUBUHI NJEMA KITAIFA NA MICHEZO 24.06.2024
ASUBUHI NJEMA KITAIFA NA MICHEZO 23.06.2024
Просмотров 967 часов назад
ASUBUHI NJEMA KITAIFA NA MICHEZO 23.06.2024
KILIMO AJIRA YANGU, KILIMO CHA ZAO LA KARANGA MKOANI SONGWE 22.06.2024
Просмотров 999 часов назад
KILIMO AJIRA YANGU, KILIMO CHA ZAO LA KARANGA MKOANI SONGWE 22.06.2024
MTAANI KWAKO; UMUHIMU WA KUPANDA MITI 21.06.2024
Просмотров 919 часов назад
MTAANI KWAKO; UMUHIMU WA KUPANDA MITI 21.06.2024
ASUBUHI NJEMA KITAIFA NA MICHEZO - 22.06.2024
Просмотров 1069 часов назад
ASUBUHI NJEMA KITAIFA NA MICHEZO - 22.06.2024
TAARIFA YA HABARI YA MCHANA CHANNEL TEN 21.06.2024
Просмотров 14812 часов назад
TAARIFA YA HABARI YA MCHANA CHANNEL TEN 21.06.2024
MATEMBEZI YA HISANI KUCHANGIA VIFAA VYA WATOTO NJITI
Просмотров 9514 часов назад
MATEMBEZI YA HISANI KUCHANGIA VIFAA VYA WATOTO NJITI
TUNU / KUTANA NA ATUKUZWE ALIYE ACHA KAZI SERIKALINI NA KUIBUKIA KATIKA BIASHARA
Просмотров 2416 часов назад
TUNU / KUTANA NA ATUKUZWE ALIYE ACHA KAZI SERIKALINI NA KUIBUKIA KATIKA BIASHARA
KUELEKEA MKUTANO WA KIMATAIFA CHUO CHA UTALII / ROYAL TOUR IMELETA NEEMA HATA KWA VYUO VYA UTALII
Просмотров 4016 часов назад
KUELEKEA MKUTANO WA KIMATAIFA CHUO CHA UTALII / ROYAL TOUR IMELETA NEEMA HATA KWA VYUO VYA UTALII
ASUBUHI NJEMA YA CHANNEL TEN 19.06.2024
Просмотров 14716 часов назад
ASUBUHI NJEMA YA CHANNEL TEN 19.06.2024
ASUBUHI NJEMA YA CHANNEL TEN 17.06.2024
Просмотров 9419 часов назад
ASUBUHI NJEMA YA CHANNEL TEN 17.06.2024
ULIMWENGU WA KIISLAMU; HIJRA YA MTUME (S.A.W) 17.06.2024
Просмотров 919 часов назад
ULIMWENGU WA KIISLAMU; HIJRA YA MTUME (S.A.W) 17.06.2024
UMUHIMU WA KUCHANGIA DAMU/ KWENYE WATU 1000 WATU 10 WANAHITAJI DAMU/ UCHANGIAJI BADO HAUTOSHI
Просмотров 9719 часов назад
UMUHIMU WA KUCHANGIA DAMU/ KWENYE WATU 1000 WATU 10 WANAHITAJI DAMU/ UCHANGIAJI BADO HAUTOSHI
ASUBUHI NJEMA YA CHANNEL TEN 16.06.2024
Просмотров 145День назад
ASUBUHI NJEMA YA CHANNEL TEN 16.06.2024
ASUBUHI NJEMA YA CHANNEL TEN 15.06.2024
Просмотров 121День назад
ASUBUHI NJEMA YA CHANNEL TEN 15.06.2024
LIVE: TAARIFA YA HABARI YA MCHANA CHANNEL TEN 14.06.2024
Просмотров 159День назад
LIVE: TAARIFA YA HABARI YA MCHANA CHANNEL TEN 14.06.2024
#BARAGUMULIVE: NINI KIMEBADILIKA KUTOKA TUME YA UCHAGUZI KWENDA TUME HURU YA UCHAGUZI? #maswali
Просмотров 46День назад
#BARAGUMULIVE: NINI KIMEBADILIKA KUTOKA TUME YA UCHAGUZI KWENDA TUME HURU YA UCHAGUZI? #maswali
#BARAGUMULIVE: UCHAMBUZI BAJETI 2024/2025
Просмотров 28День назад
#BARAGUMULIVE: UCHAMBUZI BAJETI 2024/2025
ASUBUHI NJEMA KITAIFA NA MICHEZO CHANNEL TEN 14.06.2024
Просмотров 58День назад
ASUBUHI NJEMA KITAIFA NA MICHEZO CHANNEL TEN 14.06.2024
MTAANI KWAKO; MKAKATI WA KUFUFUA ZAO LA MNAZI 14.06.2024
Просмотров 31День назад
MTAANI KWAKO; MKAKATI WA KUFUFUA ZAO LA MNAZI 14.06.2024
Ni mzuri sana .kama darasa, nashauri muwe mnatoa hata ikiwezekana vipimo kwa upandaji wake pia.
Mtu anae andika matamshi ajitaidi kunamakosa mengi anaandika
Watanzania tunalana wenyewe Kwa wenyewe ,huyo mtanzania anakandamiza wenzake ILI apate kitu kidogo Tu.
Poleni sana watoto albinos, nammunga mkono sana RC Chalamila kutangaza vita na waganga wakienyeji/wapiga ramli waovu. Lkn nadhani pia elimu ya mkakati, mass education kutokomeza kabisa tabia hii inayofedhehesha TZ. Mbona Kenya albinos wako salama? nadhani pia Bunge ipitishe sheria itakayopewa jina la ''Kinjikitile Law'' itakayo watia hatiani waganga wapiga ramli na wauwaji wa watoto wa albinos. Pia Kinjikitile aondolewe kama shujaa wa taifa kwani upiga ramli wake ilisababisha watu elfu tatu kufa kwenye vita ya majimaji huko Ruvuma 1903 dhidi ya wakoloni wa Ujerumanu (Germany). Kinjikitile alidai risasi ya wajerumani itakuwa maji! huyo pia alikuwa mpiga ramli au mganga wa kienyeji kwa hiyo siyo shujaa wa kitaifa, alisababisha watu wengi kufa.
Anayo ifanya chuki Duniami ni taifa moja tu ni Marekani kuchukia mataifa mengine
Saf
Iwe siku ya mapumziko hususan nchi za mtazamo wa jumuia ya Afrika Mashariki.
Ufuta unalimwa kwenye aridhi gani
Huu mbegu ya ilendele na ilinga unafanya vzr??
Dawa ya jino
Naweza kalima zao hili maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro?
Amina Mungu akubariki Mchungaji kwa Maono haya na kwa somo nzuri
Nimeburudishwa si haba katika mazungumzo haya yenu❤
Mwaka huu tukiadhimisha siku ya kiswahili duniani, ningeomba vuguvugu la wapenzi wa lugha waanzishe hazina au kupata sauti ya kudhubutisha na kuweka alama huko Tanga-Vibambani Machui. Sheik Shabaan Suleiman Juma Ufukwe daima atakumbukwa katika ulimwengu wa fasihi ya Kiswahili. Hata mimi najiona kuwa na deni la kuutembelea mji wa Tanga mradi nijionee alikolala huyu mswahili mwenye kalamu iliyolenga, kuzamia usanifu na ufasaha wa lugha adhimu ya Kiswahili. Ameliacha pengo ambalo hata wasomi uzamifuni hawajamudu kuliziba. Kazi zake bado zinaendelea kuchunguzwa na wasomi wa juu kila mmoja akiwa bado hafikii viina vya falsafa na maadili ambayo kila kuandika kwake kulijaribu kunadi yawe kawaida katika jamii.
Thank you teacher for your time
Mungu mtie nguvu mtumishi wako anaytuhurubira ni ya kweli
Tunamkumbuk sana
❤❤❤
Waokota makopo wawezeshwe. Bofya like hapa 🙌🇹🇿🙌
Ni kweli kabisa maneno yako amna wa kukutatulia matatizo yako inabidi tupambane na hali zetu
Naitwa thomas niko arusha ila nna shida jmn niliwahi kuoa na niliemwoa nimezaa nae watoto wawili lkn kanitoroka mpk sasa 2na miaka miwili 2ngu anitoroke kaenda kwao lkn kabla hajanitoroka niliwahi kumkuta na madawa ya waganga wa kienyeji hembu nisaidieni nirudiananae aw vp?
KAZI nzuri kak..🙏🙏
Chai ya dimu
Hitoria ya nini? Who care about hitoria?
Jongera Upendo nenda kapige kazi
Penyeza umewashawishi watu mia tatu tu chadema tuko zaid ya ml10
Eti chagadema kina watu milioni 10 ktk watz milioni 61, huoni kama hamuwezi kuboa? Chama cha kibinafsi hakiwezi kuwa na mueleo ktk bongo hii. Sasa kuna migogoro mingi tu hata Lissu analielewa hilo. Upendo yupo makini msichana huyo hongera yake.
Upendo Furaha Peneza upo sawa mwanangu umefikiria kiakili. Chagadema ni chama cha kibnafsi mno na hakina muelekeo kisiasa ni bla bla na matusi tu. Tamaa waliyo nayo halafu uwape nchi si wataigawa vipande vipande, chagadema hawana Sera mbadala kabisa, ni madomo tindiga tu kila siku. Mbowe mwenyewe keshalambishwa asali hana jipya kisiasa.
Dr samhn mm nimeshiriki trndo la ndoa na mume wang nikiwa kwenye ck za hatri lkn alitumia kinga je Kuna uwezekano wa kupata mimba?
Nahitaji Miche ya mkorosho kutoka kwenu nikaipande wilaya ya Hai K'njaro nitahitajika nipitie hatua Gani au mnanishaurije?
Asante Magreth Malisa...
Nawakikuchukulia wewe penenza wa jana ni vitu viwili tofauti jielewe hvyo bad o unampenda x wako
Mungu akupumzishe salama JPM😢
God bless you
Nikiitaji nitaipata vp
Ok inapatikana kwa kiasi cha shilling ngap
Mashaallah.darasa.zuri.sana.hakika.linafundisha
Wooow thank you. It was indeed a great lesson👍🏻
Baba,tutakukumbuka,daima,pumzika,kwa,amani,
Naipenda sana katavi yetu tunaishi kwa amani
Naam sheikh 🎉🎉🎉
Namba kwa ajili ya masiliano
Kwanini kisingekuwa mara mbili kwa wiki
😢
Safi sana nitapenda Kuja hapo kutembea na sijui gharama zake hapo na nje ya hapo km tent,
Turudini kwa allah malika yeye ni mingizaji wa tusamehe sasaivi maasitunayo yafanya dunia umefika pabaya
Kiingereza kinakuwa kingi sana, tunashindwa kikuelewa vema
Nataka topic y a water masses
post zote za mda sidhan ka wanapost mpya
😢
Kicheba mabegani= Master Koja
Mungu aku bariki sana